Michezo
Kombe la Dunia 2026: Matokeo na ratiba ya mechi za kufuzu Afrika
Mbio za kuwania tiketi ya Kombe la Dunia 2026 zinaendelea leo huku timu zikipiga mechi zao za pili za kufuzu ili kujipa moja kati ya nafasi tisa zilizotengewa Bara la Afrika kwenye kombe hilo litakalochezwa Marekani, Canada na Mexico 2026.Michezo
Shujaa wa Kombe la Dunia kutoka Uhispania, Carmona, ametoa heshima kwa baba yake aliyefariki kabla ya fainali
Shujaa wa Kombe la Dunia la Wanawake wa Uhispania, Olga Carmona, alitoa heshima kwa baba yake Jumatatu kwa kumpa nguvu "kufanikisha jambo la kipekee" baada ya kufahamu kifo chake kufuatia ushindi wa 1-0 wa taifa hilo dhidi ya Uiengereza
Maarufu
Katika Picha: Vijana waliochoshwa na vita DRC wapata faraja mchezo wa kuteleza
Huku kukiwa na operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kung'oa makundi ya waasi, kijana mmoja anatoa suluhu la kipekee ili kupunguza msongo wa mawazo na kukabiliana na uhalifu mijini
Makala maarufu