Afrika
Benki ya Dunia yaitaka Uganda kutotumia fedha za Uviko 19 katika mambo mengine
Bohari Kuu ya Madawa nchini Uganda iliharibu chanjo za Uviko 19, dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) na vifaa vya majaribio vilivyokwisha muda wake, zenye thamani ya zaidi ya dola milioni 86, katika mwaka wa fedha 2023/24.Afrika
Jinsi ubaguzi wa ukadiriaji wa mikopo unaathiri Afrika
Utafiti wa UNDP wa ukadiriaji wa mikopo huru katika uchumi wa Afrika unaonyesha kwamba 'ubaguzi wa vigezo' vya mkopo vinavyozingatiwa na 'S&P, Moody's na Fitch' uligharimu bara la Arika takriban bilioni $74.5 za riba ya ziada na kukosa ufadhili.
Maarufu
Makala maarufu