| Swahili
Habari zaidi
Michezo
Iran bado haijaamua kuhusu ushiriki wake Kombe la Dunia 2026
Iran bado haijaamua kuhusu ushiriki wake Kombe la Dunia 2026
Akizungumza Aprili 16 mwaka huu, Rais wa FIFA, Gianni Infantino alisema kuwa Iran inatarajiwa kushiriki kwenye michuano hiyo mikubwa duniani.