| Swahili
Habari zaidi
Michezo
Mabondia wa Uganda watoweka baada kumalizika kwa Michezo ya Jumuiya ya Madola Glasgow
Mabondia wa Uganda watoweka baada kumalizika kwa Michezo ya Jumuiya ya Madola Glasgow
Wanamasumbwi wanne kati ya sita wa Uganda wametoweka kabla ya kikosi hicho kurudi nyumbani Jumanne kama ilivyokuwa imeratibiwa, hii ni kulingana na taarifa za vyombo vya habari.