|
Swahili
|
Swahili
MAONI
ZAIDI YA FIDIA: MUSTAKBALI WA AFRIKA UNAHITAJI MTAZAMO MPYA SIO MALIPO
Malipo ya kweli huanza watu wanapojirekebisha, wanapokataa hali duni, kurejesha historia yao, na kurejesha fahari yao .
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MICHEZO
AFRIKA
Maoni
Namna vita vya Iran vinavyoathiri uchumi wa Afrika na siasa.
Afrika inaagiza zaidi mafuta yaliyosafishwa, jambo linalofanya itatizike kwa kutokana na yanayoendelea duniani. Kupanda kwa bei za mafuta kutokana na vita vya Iran tayari kunasababisha mfumuko wa bei, na kupanda kwa gharama za maisha.
Na
Hafsa Abdiwahab Sheikh
Kwa nini ushirikiano wa Somalia na Uturuki unaimarika licha ya minong'ono
Uimara wa ushirikiano wa Somalia na Uturuki umejikita zaidi kwenye matokeo. Ni ushirikiano uliojengwa kwa msingi wa kuaminiana, umekuwepo kwa muda mrefu, na mafanikio yake yanaonekana.
Kwa nini malipo ya fidia ya utumwa na ukoloni ni jambo muhimu sana kwa Afrika mwaka 2026
Fidia siyo misaada ya hisani – inahusu uhamisho wa rasilimali za kifedha na kurekebisha mizani ya nguvu. Kuna haja ya kuvunjwa kwa mifumo inayoiadhibu Afrika mara kwa mara.
Mafanikio ya katiba ya Somalia yanatoa mwelekeo zaidi ya siasa za kiukoo
Mchakato wa mapitio ya katiba unatangaza mpito wa hatua kwa hatua wa Somalia kuelekea mfumo wa kidemokrasia unaojumuisha zaidi na unaozingatia raia badala ya upendeleo wa koo.
KIZAZI CHA AFRIKA KITAZEEKA KABLA YA KUWA TAJIRI?
Japo viwango vya uzazi viko juu Mataifa ya Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara havijaepuka mabadiliko ya kidunia. Kufikia 2030, mtu mmoja kati ya sita duniani atakuwa na umri wa miaka 60 au zaidi; Afrika haijajiandaa
SIASA
Hifadhi ya Jamii Barani Afrika: Nguvu ya Ubuntu
Esther Mpagalile
Tuwalinde watoto wetu dhidi ya ukatili wa kijinsia mitandaoni
Magdalene Wanza
Djibouti: Taifa dogo lenye diplomasia ‘nyingi’
Hafsa Abdiwahab Sheikh
Kuwekeza katika wanawake halipaswi kuwa jambo la kujadiliwa
Kuwekeza katika elimu ya wanawake, uwezeshaji kiuchumi, na ujuzi wa uongozi ni njia ya uhakika ya kuboresha uchumi wa taifa na ubora wa maisha, anaandika Kennedy Chileshe.
Afrika ijiandaee na mashambulizi ya muda mrefu ya Marekani-Israel dhidi ya Iran
Hadi kufikia sasa, gharama za mafuta duniani zimepanda kwa asilimia 10.
Kifo cha Saif Al-Islam Gaddafi na athari zake kwa siasa za Libya
Kifo cha Saif Al-Islam Gaddafi kinaashiria kufungwa kwa kitabu cha nafasi ya familia ya Gaddafi katika siasa za Libya.
Na
Yahya Habil
Kwa nini uhusiano wa Uturuki na Ethiopia wa miaka 100 ni muhimu
Huku uhasama kati ya mataifa ukiongezeka katika ushoroba wa Bahari ya Shamu, ziara ya Erdogan nchini Ethiopia inadhihirisha nafasi ya Uturuki katika kuelekeza uthabiti, usalama wa baharini na kuweka hali ya usawa katika kanda.
Uturuki na Afrika: Safari ya ushirikiano wa muda mrefu na matumaini mapya
Afrika inavyoendelea kujenga mustakabali wake, mtindo wa ushirikiano wa Uturuki unaojengwa juu ya heshima, uwepo wa karibu, na kujitolea kwa muda mrefu unaonekana kuwa mchango chanya na wa kudumu katika safari ya bara hilo kuelekea maendeleano.
Na
Hafsa Abdiwahab Sheikh
Wanawake barani Afrika katika kutoa muelekeo wa mustakabali wa sayansi
Swali si kama wanawake barani Afrika wako tayari kutoa muelekeo kisayansi. Tayari wanaendeleza hilo. Swali ni kama taasisi, wafadhili, na serikali ziko tayari kutambua kuwa uongozi huo kwa kuwekeza na kuwepo na mamlaka ya maamuzi.
UNDUMAKUWILI WA MAGHARIBI UNARUHUSU ISRAEL KUENDELEA KUKALIA UKINGO WA MAGHARIBI
Kila wakati Israel inapojaribu kufanya upanuzi wa maeneo wanayokalia inaonesha nia ya kuchukua maeneo na kuondoa uwezo wa kitaasisi wa serikali ya Palestina kujisimamia yenyewe.
Waandishi
Kennedy Chileshe
Uhuru wa kusafiri na kurejesha heshima ya Mwafrika
4 dk kusoma
Nani anapaswa kuwajibika kwa madhara yanayosababishwa na matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto?
8 dk kusoma
Bodi ya Amani ya Trump na maana yake kwa mustakabali wa Palestina
6 dk kusoma
Greenland isitumike katika njama ya kurubuni wengine
2 dk kusoma
JINSI SARAFU YA ZAMBIA INAVYOBADILISHA KANUNI ZA UHURU WA KIUCHUMI
Sarafu ya kwacha iliyoimarika si takwimu tu ya fedha; ni tamko la dhamira la kiuchumi, na inaendelea kuimarika.
By
Kennedy Chileshe