|
Swahili
|
Swahili
MAONI
ZAIDI YA NYIMBO ZA TAIFA: SIKU YA UHURU WA AFRIKA SASA LAZIMA IMAANISHE UKOMBOZI WA KIUCHUMI
Miongo kadhaa baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni, Waafrika zaidi ya bilioni 1.4 bado wanaishi kama watumwa wa kiuchumi.
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MICHEZO
AFRIKA
Maoni
Kwa nini Kombe la Dunia 2026 litakuwa lenye ushawishi wa kimataifa zaidi katika historia ya FIFA
Kwa kushirikisha timu 48 na nchi tatu wenyeji, Kombe la Dunia 2026 halitakuwa tu lenye timu nyingi zaidi, bali pia litabadilisha namna matukio makubwa ya michezo yanavyopangwa na kunufaishwa kibiashara.
Jukwaa la Kidiplomasia la Antalya kwa mtazamo wa viongozi wa Afrika
Antalya ndiyo sehemu ambayo nchi zinazoendelea zimepata sauti sasa.
Kuliondoa Bara la Afrika kutoka kusuasua hadi kutoa muelekeo
Mkutano uliomalizika wa 'Africa Forward Summit' unatakiwa kuonekana kama mwanzo. Lazima tuwe na bara ambalo limejipanga na linafahamu malengo yake kwamba makubaliano ya ushirikiano yameandikwa Nairobi, siyo tu kutiwa saini huko.
Maji, maandamano na mamlaka: Jinsi Madagascar iliingia katika enzi mpya ya kisiasa
Yaliyoanza kama maandamano ya matatizo ya kila siku yalifichua malalamiko ya kina ya kisiasa na kiuchumi nchini Madagascar, na kuweka njia ya mpito inayoongozwa na jeshi na uhusiano wa karibu na Moscow.
HASIRA YA AFRIKA KUSINI IMEELEKEZWA PASIPO SAHIHI; AFRIKA HAITAENDELEA KUBEBA MAUMIVU HAYA MILELE
Afrika Kusini haiwezi kuendelea kufurahia faida za biashara ya Afrika, uwekezaji wa Afrika, na mshikamano wa Waafrika huku ikiruhusu raia wake kumwaga damu ya Waafrika wenzao. Huo si Uanamajumui. Huo ni unyonyaji.
SIASA
Hifadhi ya Jamii Barani Afrika: Nguvu ya Ubuntu
Esther Mpagalile
Tuwalinde watoto wetu dhidi ya ukatili wa kijinsia mitandaoni
Magdalene Wanza
Djibouti: Taifa dogo lenye diplomasia ‘nyingi’
Hafsa Abdiwahab Sheikh
Vijana wa Afrika wanataka kutambuliwa. Wakati ni sasa
Vijana wa Afrika siyo tu wanasubiri sera zipitishwe; wanatoa muelekeo katika bara kupitia uanaharakati, ujasiriamali, na umoja. Swali si kuwa kama vijana wako tayari. Ni kama viongozi barani Afrika wako tayari.
Gharama ya kuhukumiwa vibaya: Watawala wa Kiafrika na Shida Kubwa Tatu
Wakala wanapopunguza ukadiriaji, mara moja huongeza gharama ya kukopa. Hii inageuza changamoto ya muda wa mtiririko wa pesa kuwa shida ya umiliki, na kuziba serikali za Kiafrika nje ya masoko ya mitaji haswa wakati zinahitaji utulivu.
Zaidi ya fidia: Mustakbali wa Afrika unahitaji mtazamo mpya sio malipo
Malipo ya kweli huanza watu wanapojirekebisha, wanapokataa hali duni, kurejesha historia yao, na kurejesha fahari yao .
Namna vita vya Iran vinavyoathiri uchumi wa Afrika na siasa.
Afrika inaagiza zaidi mafuta yaliyosafishwa, jambo linalofanya itatizike kwa kutokana na yanayoendelea duniani. Kupanda kwa bei za mafuta kutokana na vita vya Iran tayari kunasababisha mfumuko wa bei, na kupanda kwa gharama za maisha.
Na
Hafsa Abdiwahab Sheikh
Kwa nini ushirikiano wa Somalia na Uturuki unaimarika licha ya minong'ono
Uimara wa ushirikiano wa Somalia na Uturuki umejikita zaidi kwenye matokeo. Ni ushirikiano uliojengwa kwa msingi wa kuaminiana, umekuwepo kwa muda mrefu, na mafanikio yake yanaonekana.
Kwa nini malipo ya fidia ya utumwa na ukoloni ni jambo muhimu sana kwa Afrika mwaka 2026
Fidia siyo misaada ya hisani – inahusu uhamisho wa rasilimali za kifedha na kurekebisha mizani ya nguvu. Kuna haja ya kuvunjwa kwa mifumo inayoiadhibu Afrika mara kwa mara.
MAFANIKIO YA KATIBA YA SOMALIA YANATOA MWELEKEO ZAIDI YA SIASA ZA KIUKOO
Mchakato wa mapitio ya katiba unatangaza mpito wa hatua kwa hatua wa Somalia kuelekea mfumo wa kidemokrasia unaojumuisha zaidi na unaozingatia raia badala ya upendeleo wa koo.
Waandishi
Kizazi cha Afrika kitazeeka kabla ya kuwa tajiri?
4 dk kusoma
Kuwekeza katika wanawake halipaswi kuwa jambo la kujadiliwa
6 dk kusoma
Afrika ijiandaee na mashambulizi ya muda mrefu ya Marekani-Israel dhidi ya Iran
4 dk kusoma
Yahya Habil
Kifo cha Saif Al-Islam Gaddafi na athari zake kwa siasa za Libya
3 dk kusoma
KWA NINI UHUSIANO WA UTURUKI NA ETHIOPIA WA MIAKA 100 NI MUHIMU
Huku uhasama kati ya mataifa ukiongezeka katika ushoroba wa Bahari ya Shamu, ziara ya Erdogan nchini Ethiopia inadhihirisha nafasi ya Uturuki katika kuelekeza uthabiti, usalama wa baharini na kuweka hali ya usawa katika kanda.