|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Wake wa Marais wa Afrika: Zita Oligui Nguema wa Gabon
Kama Mama wa Taifa, Zita Oligui Nguema anaangazia zaidi katika huduma ya afya, elimu, na kusaidia idadi ya watu walio katika mazingira hatarishi.
Na
Coletta Wanjohi
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Kwanini DRC inakumbwa zaidi na Ebola kuliko nchi nyingine yoyote
DRC imekumbwa na mlipuko wa Ebola zaidi kuliko nchi yoyote duniani. Wataalamu wanasema jiografia, ukosefu wa usalama, miundombinu dhaifu na virusi vinavyobadilika hutengeneza hali nzuri kwa ugonjwa hatari kurudi tena na tena.
Wake wa Marais wa Afrika: Entissar Amer wa Misri
Entissar alifunga ndoa na Abdel Fattah el-Sisi mwaka 1977, baada ya el Sisi kuhitimu kutoka Chuo cha Kijeshi.
Na
Coletta Wanjohi
Takriban Waislamu milioni 2 wanatarajiwa kutekeleza ibada ya Hajj huku mahujaji wakielekea Mina
Mahujaji wanaowasili Mina siku ya Jumatatu wataadhimisha Siku ya Tarwiyah, ambayo ni hatua ya kwanza ya hija ndani ya maeneo matakatifu na mwanzo rasmi wa ibada za Hajj.
Namna baa la njaa nchini DRC linavyofanya iwe vigumu kwa misaada kufikia wote
Kulingana na tahadhari iliotolewa na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), raia wa DRC zaidi ya milioni 26.5 —karibu mtu mmoja kati ya wanne—wanashindwa kupata chakula.
UTAJIRI WA AFRIKA: KAFTAN YA MOROCCO
Kaftan huvaliwa wakati wa sherehe muhimu za kijamii na kidini kama vile harusi, ubatizo, matambiko ya wazee na sherehe nyengine.
By
Coletta Wanjohi
MAKALA YA SIASA
Lengo halisi la Marekani na Israel kuzishambulia Iran ni lipi?
Mustafa Abdulkadir
Usafiri wa anga Mashariki ya Kati waendelea kuathirika
Coletta Wanjohi
Athari za Iran kufunga Mlango Bahari wa Hormuz
Coletta Wanjohi
Wake wa Marais wa Afrika: Mary Ayen Mayardit wa Sudan Kusini
Kabla ya uhuru wa Sudan Kusini, Mary Ayen Mayardit alikuwa mpigania ukombozi aliyejitolea wakati wa mapambano ya miaka 21 dhidi ya Sudan.
Na
Coletta Wanjohi
Mkenya aliyeacha uhandisi na kujikita kwenye tasnia ya sanaa
Kelvin Wamae, aliyepata mafunzo ya uhandisi amegeukia ndoto yake ya utotoni, sanaa, ili kupata riziki.
Twiga mweupe pekee duniani anayepatikana nchini Kenya
Twiga mweupe pekee duniani wanaishi katika Kaunti ya Garissa, kaskazini-mashariki mwa nchi.
Na
Coletta Wanjohi
Wake wa Marais wa Afrika: Rachel Chebet Ruto wa Kenya
Rachel na William Ruto walifunga ndoa mwaka wa 1991, na wamebarikiwa watoto saba, mmoja wa kuasili.
Na
Coletta Wanjohi
Sheria mpya ya usalama barabarani itasaidia nchini Ghana?
Bunge la Ghana limeidhinisha sheria mpya ya usalama barabarani inayojumuisha kuzingatia usalama wa watoto wanapokuwa kwenye gari.
Na
Pauline Odhiambo
Swala Bongo wa milimani wenye asili ya Kenya
Swala wa Bongo wa milimani asili yake ni misitu ya milima mirefu ya Kenya, na inakadiriwa kuwa, wanyama hao wapo kati ya 100-140 katika pori nchini Kenya.
Na
Coletta Wanjohi
WAKE WA VIONGOZI WA AFRIKA: MARIE KHONE FAYE NA ABSA FAYE WA SENEGAL
Rais wa Senegal Bassirou Diomaye ana wake wawili: Faye Marie Khone Faye na Absa Faye.
By
Coletta Wanjohi
Waandishi
Sawe na enzi ya marathon mpya: Jinsi wanariadha wanavyovuka katika uwanja wa kukimbia kufika kilele
5 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Utajiri wa Afrika: Shaba ya Afrika Magharibi
2 dk kusoma
Jinsi upinzani wa Vatican unavyobadilisha mienendo ya kimataifa ya vita vya Iran
9 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Wake wa viongozi Afrika: Angeline Ndayishimiye wa Burundi
2 dk kusoma
MZOZO WA MASHARIKI YA KATI UNATOA SOMO: UTURUKI YAIBUKA KAMA CHAGUO BORA KWA NCHI ZA KIAFRIKA
Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kulipiza kisasi Tehran yamebadilisha mizani. Kuona baadhi ya mifumo ya ulinzi ya Magharibi haifanyi kazi vizuri, nchi za Afrika zinageukia Uturuki. Wataalamu wanasema.