|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Namna kijana mwenye umri wa miaka 12 mwenye usonji alivyotumia uokaji keki kukabiliana na chuki
Baada ya shambulizi katika msikiti mmoja Uingereza, Joshua Harris alitumia mapenzi yake ya kuoka kuwa kampeni aliyoipa jina la ‘Cake Not Hate’, harakati za kukabiliana na chuki dhidi ya Waislamu kwa kuonesha huruma.
Na
Zulal Sema
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Iman Elman: Afisa wa Somalia anayeijenga upya nchi kutoka mstari wa mbele
Baada ya baba yake kuuawa kwa sababu ya kuhimiza amani nchini Somalia, Iman Elman alirejea kutoka Canada ili kujiunga na jeshi. Leo hii, yeye ni mmoja wa maafisa wanawake wenye vyeo vya juu zaidi nchini humo.
Besigye: Kutoka daktari binafsi wa Museveni hadi adui wa kisiasa
Hata hivyo, kama wasemavyo Waswahili kuwa, kila chenye mwanzo, basi ni lazima kiwe na mwisho, na ndivyo ilivyotokea kwa Besigye na Museveni.
Na
Edward Josaphat Qorro
Mke wa Rais wa Zimbabwe: Auxillia Kutyauripo Mnangagwa
Kutyauripo amekuwa katika nafasi ya Mke wa Rais wa Zimbabwe tangu Novemba 24, 2017, baada ya mume wake Emmerson Mnangagwa kuapishwa rasmi kushika uongozi wa nchi hiyo.
Na
Coletta Wanjohi
Kampeni maalumu ya simulizi za Afrika
Utafiti ulioandaliwa na taasisi hiyo, unaweka bayana gharama za kuripoti taarifa za Afrika kwa njia zenye utata.
Na
Charles Mgbolu
NICO WILLIAMS: KUTOKA JANGWA LA SAHARA HADI UBINGWA WA KOMBE LA DUNIA
Miaka mingi iliyopita, wazazi wa Nico Williams waliondoka Ghana wakikimbia umaskini na kutafuta maisha bora Ulaya.
By
Nuri Aden
MAKALA YA SIASA
Miaka 15 ya Sudan Kusini na Uchaguzi Mkuu unaosuburiwa kwa hamu
Emmanuel Oduor
Lengo halisi la Marekani na Israel kuzishambulia Iran ni lipi?
Mustafa Abdulkadir
Usafiri wa anga Mashariki ya Kati waendelea kuathirika
Coletta Wanjohi
Uturuki yafungua kituo cha mafunzo ya upishi kwa wanawake katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Uganda
Kituo kipya cha mafunzo ya upishi kilichofadhiliwa na Shirika la Ushirikiano na Uratibu la Uturuki (TİKA) katika Chuo Kikuu cha Kiislamu nchini Uganda (IUIU) kinalenga kuwapatia wasichana ujuzi na kuongeza fursa za ujasiriamali.
Tanzania kuongeza ushiriki wa wazawa katika sekta ya madini
Jukwaa la Ushiriki wa Watanzania katika Sekta ya Madini, limefanyika jijini Mwanza, likiwakutanisha wadau kutoka ndani na nje ya nchi.
Na
Ronald Sonyo
Uganda na mapambano ya ‘kimya kimya’ dhidi ya Ebola
Uzoefu wa Uganda, unaonesha wazi kuwa hauhitaji chanjo peke yake kukabiliana na ugonjwa kama Ebola.
Na
Sylvia Chebet
Mjue Lordina Mahama, mke wa Rais wa Ghana
Yeye ndiye mwanzilishi na rais wa Taasisi ya Lordina (Lordina Foundation), shirika la hisani linalotoa ufadhili wa masomo, kusaidia vituo vya watoto yatima na kuwezesha vifaa katika wodi za wazazi na watoto.
Na
Coletta Wanjohi
Simulizi ya madada watatu wenye umri zaidi ya miaka 100
Uhusiano wao umeendelea kuwa imara hata baada ya zaidi ya karne moja, ikiwa bado wanataniana, wanabishana mara kwa mara na kucheka pamoja.
Miaka kumi, sauti kumi: Jinsi Julai 15 ilivyobaki katika mioyo ya raia wa Uturuki
Miaka kumi baada ya jitihada ya mapinduzi ya July 15 yaliyofeli, Waturuki kumi kutoka maeneo tofauti ya maisha wanarejelea usiku ambao ulibadilisha maisha yao na kuimarisha kujitolea kwao kwa demokrasia.
KUTOKA DRC HADI CANADA: NGUVU YA KUWAPA WAKIMBIZI MAKAZI MAPYA
Mnamo mwaka wa 2025, ni wakimbizi 37,000 pekee waliohamia nchi mpya kupitia usaidizi wa UNHCR, kutoka zaidi ya 116,000 mwaka wa 2024-sehemu ya wale wanaohitaji makazi salama
Waandishi
Gharama ya maji, ahadi ya amani
6 dk kusoma
Mshambuliaji hatari Erling Haaland
2 dk kusoma
Uhusiano wa usalama kati ya Afrika na Uturuki unazidi kuimarika katika mfumo wa dunia unaobadilika
6 dk kusoma
Kwa nini juhudi za Uturuki za kudumisha uwiano ni muhimu kwa NATO
7 dk kusoma
JINSI MFUMO WA UTURUKI WA UPATANISHI NA USHIRIKIANO WA ULINZI UNAVYOIMARISHA USALAMA BARANI AFRIKA
Mataifa ya Afrika yamepata mshirika halisi wa usalama huko Uturuki kupitia ushirikiano wa pande zote mbili unaochanganya kuimarisha uwezo wa kijeshi na diplomasia ya kijiografia.