|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Kwa nini mafuriko yanatokea katika miji mikuu?
Miji mikuu mingi ilitengwa na mamlaka za kikoloni kwa kuzingatia upatikanaji wa bandari za baharini au maeneo ya kimkakati ya usambazaji na usafirishaji wa bidhaa zao.
Na
Coletta Wanjohi
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Kwa nini nchi huamua kuhamisha mji wake mkuu?
Miji mikuu mingi ilitengwa na wakoloni, hivyo kwa nchi nyingi kuchagua mji mpya ni kama mwanzo mpya na njia ya kukaa mbali na historia ya ukoloni.
Na
Coletta Wanjohi
Waislamu na usiku ulio bora kuliko miezi 1000
"Malipo ya ibada katika usiku wa mwezi huu pekee ni bora kuliko ibada ya maisha yote:’’ Quran
Nchi za Afrika zaanza kuwarudisha raia wake kutoka Mashariki ya Kati
Usafiri wa kwenda na kutoka Mashariki ya Kati unasalia kutatizwa kwani safari za ndege za kibiashara bado hazijaanza, na maelfu wamesalia kukwama wakisubiri msaada kutoka kwa nchi zao.
Utajiri wa Afrika: Morocco, asili ya mafuta ya argan
Mafuta ya argan hutengenezwa kutoka mbegu za matunda ya miti ya argan hii na hutumiwa katika kupikia na vipodozi ikiwa na sifa ya kulainisha ngozi na nywele.
Na
Coletta Wanjohi
USAFIRI WA ANGA MASHARIKI YA KATI WAENDELEA KUATHIRIKA
Kulingana na kampuni ya uchanganuzi wa safari za anga ya Cirium, zaidi ya abiria milioni moja wameathiriwa na zaidi ya safari za ndege 19,000 kati ya 51,600 zilizopangwa kuingia na kutoka Mashariki ya Kati zimesitishwa tangu kuanza kwa mashambulizi
By
Coletta Wanjohi
MAKALA YA SIASA
Athari za Iran kufunga Mlango Bahari wa Hormuz
Coletta Wanjohi
Siku 100 za Rais Samia: Ahadi, makovu ya uchaguzi na maisha halisi ya mwananchi
Ronal Sonyo
Baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri nchini Tanzania 2025
Kiongozi Mkuu wa Iran Alireza Arafi
Kiongozi Mkuu mpya wa kidini nchini Iran ni Alireza Arafi, ni kiongozi muhimu wa kidini na kisiasa katika mfumo wa utawala wa nchi hiyo.
Shambulio la Iran linakuja wakati wa mazungumzo ya nyuklia. Nini kitatokea baadaye?
Wachambuzi wa masuala ya Iran wachangia maoni yao juu ya athari za shambulio la pamoja la Marekani na Israel.
Ramadhan mjini Mombasa: Utamaduni, fursa na mabadiliko ya kijamii
Katika mji wa pwani wa Mombasa, kuwasili kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan huleta zaidi ya mabadiliko ya kalenda—huashiria mageuzi makubwa ya maisha ya kila siku.
Na
Fat-hiya Omar
Vazi la kitamaduni la fugu kuvaliwa kila Jumatano nchini Ghana
Madhumuni ni kuenzi upekee wa vazi hilo la nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Na
Coletta Wanjohi
Uchungu wa familia nchini Kenya wakati mtoto akiwa vitani Ukraine
Kujifanya ana matatizo ya akili na picha za kuonesha ajali ya kupangwa ndicho kilichomfanya Duncan Chege apate kukimbia kutoka Ukraine.
Uwanja wa Ndege wa Ghana: Kutoka Kotoka hadi Accra
Baada ya miaka 60 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ghana unabadilishwa jina kutoka ulivyojulikana kwanza Kotoka hadi Accra.
Na
Wazir Khamsin
RAMADHAN UGANDA: WITO WA AMANI
Viongozi wa dini ya Kiislamu nchini Uganda wanawataka waumini kuutumia mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kuungana na kusameheana hasa baada ya kipindi kigumu cha mvutano kilichosababishwa na Uchaguzi Mkuu wa urais wa tarehe 15 Januari 2026.
By
Eudes Ssekyondwa
Waandishi
Nuri Aden
Somalia yapongeza uhusiano unaokua kati yake na Uturuki
3 dk kusoma
Kufunga saum kwa wagonjwa wa Kisukari: Njiapanda kati ya Imani na usalama wa afya
5 dk kusoma
Nuri Aden
Namna Uturuki inavyosaidia Rwanda kuwafikia watalii milioni 300 kutoka eneo la Mediterania
3 dk kusoma
Jesse Jackson, kiongozi wa haki za kiraia nchini Marekani, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84
3 dk kusoma
TAMASHA LA UVUVI LA ARGUNGU LATIA FORA NIGERIA
Tamasha hilo ni moja ya vivutio vikubwa vya kitamaduni, kulingana na UNESCO.