|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Benjamin Ratsim: Kijana wa miaka 19 anayebanana hapo hapo na vigogo wa riadha
Benjamin Ratsim, aliweka rekodi mpya ya taifa la Tanzania katika mbio za kilomita 15.
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
Uchaguzi wa Nigeria 2027: Tinubu vs Atiku
Chini ya miaka mitatu baada ya Nigeria kuondoa ruzuku ya mafuta, mjadala unaendelea kuhusu kuirudisha na hasa wakati nchi ikielekea katika uchaguzi mkuu 2027.
Magdalena Shauri: Binti aliyejijengea jina miongoni mwa mabingwa wa riadha duniani
Magdalena Shauri, Mtanzania ambaye hawezi kuzuilika, bila shaka ni jina la kufuatilia kwa karibu.
Unyanyasaji kwa wazee janga linaloenea kimya kimya
Kulingana na WHO, takriban mtu mmoja kati ya sita wenye umri wa miaka 60 na zaidi amekumbana na aina fulani ya unyanyasaji katika jamii zao katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
Osman Ali, mpiga mieleka Mturuki mwenye asili ya Tanzania
“Lengo langu ni kuwa mtu mzuri, na bingwa katika mieleka” amesema Osmani Ali.
JUHUDI ZA SIERRA LEONE KATIKA KULINDA HAKI ZA WAFANYAKAZI WA NYUMBANI
Nchini Sierra Leone, vyama vya wafanyakazi na waajiri wanashirikiano na serikali na taasisi za kimataifa kuimarisha mazingira mazuri ya kufanya kwao kazi.
MAKALA YA SIASA
Kenya yapambana na wimbi la kauli za chuki, mwaka moja kuelekea Uchaguzi Mkuu
Emmanuel Oduor
Kampeni maalumu ya simulizi za Afrika
Charles Mgbolu
Miaka 15 ya Sudan Kusini na Uchaguzi Mkuu unaosuburiwa kwa hamu
Emmanuel Oduor
Gabriel Geay : Nyota wa riadha wa Tanzania 'Moto wa kuotea mbali'
Tunaendelea na mfululizo wetu wa kuangalia vipaji vya vijana wa Tanzania katika michezo ya riadha.
Emmanuel Nchimbi ni nani?
Makamu wa Rais wa Tanzania, Balozi Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kuanzia Septemba 4, 2026, chini ya mwaka mmoja tangu aingie madarakani pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, Umoja wa Afrika unaweza ukapata ufumbuzi kupitia majadiliano Sudan?
Ziara ya ujumbe kutoka Umoja wa Afrika mjini Khartoum imeashiria mabadiliko kwa serikali ya Sudan kuhusu mpango wa amani wa suluhu ya karibu, lakini utafanikiwa kuleta amani?
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kwa Tanzania, kuwa na kijana mwenye umri wa miaka 19 anayeshindana katika kiwango hicho ni ishara muhimu ya uwezo mkubwa.
Ainua mkono wake juu kwa miaka 53 kuushusha chini
Inaaminika kuwa, Bharati alianza kuonesha ishara hiyo toka mwaka 1973, kama ibada kwa mungu wa kihindu, aitwaye Shiva.
Na
Edward Josaphat Qorro
Mke wa Rais wa Tunisia, Ichraf Chebil
Ichraf alikutana na Kais Saied alipokuwa akisomea sheria, wakati huo Kais Saied alikuwa mkufunzi wa sheria ya kikatiba.
SUMU YA SIANIDI KWA WANYAMAPORI: JE, NI WAKATI WA KUPITIA UPYA MFUMO WA UDHIBITI WA VIUATILIFU KENYA
Kenya inachunguza iwapo kemikali hatari za kulinda mazao zimetumiwa, kuhifadhiwa, au kutupwa isivyofaa katika maeneo yanayotumiwa na wanyamapori pamoja na wanyama wa kufugwa.
Waandishi
Edwin Watenya Sifuna ni nani?
1 dk kusoma
Tamasha la muziki la shule nchini Kenya lageuza mashindano kuwa sherehe za utamaduni
4 dk kusoma
ISAYA YUNGE: Mjasiriamali wa Teknolojia kutoka Tanzania aliyemuoa binti yake Rais wa Kenya
4 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Utajiri wa Afrika: Boma–Badingilo ya Sudan Kusini
3 dk kusoma
MAGONJWA YANAPOVUKA MIPAKA: WAKULIMA WA AFRIKA WAVUMBUA KINGA MBADALA
Mpango wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Mifugo Yanayovuka Mipaka (GPP-TAD) ni mpango unaoongozwa na nchi husika, ambapo kinga na udhibiti wa magonjwa yaliyopewa kipaumbele huimarishwa kupitia ushirikiano kati ya sekta za umma na binafsi