|
Swahili
|
Swahili
MAKALA MAALUM
Je, Umoja wa Afrika unaweza ukapata ufumbuzi kupitia majadiliano Sudan?
Ziara ya ujumbe kutoka Umoja wa Afrika mjini Khartoum imeashiria mabadiliko kwa serikali ya Sudan kuhusu mpango wa amani wa suluhu ya karibu, lakini utafanikiwa kuleta amani?
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Makala kuu wiki hii
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kwa Tanzania, kuwa na kijana mwenye umri wa miaka 19 anayeshindana katika kiwango hicho ni ishara muhimu ya uwezo mkubwa.
Ainua mkono wake juu kwa miaka 53 kuushusha chini
Inaaminika kuwa, Bharati alianza kuonesha ishara hiyo toka mwaka 1973, kama ibada kwa mungu wa kihindu, aitwaye Shiva.
Na
Edward Josaphat Qorro
Mke wa Rais wa Tunisia, Ichraf Chebil
Ichraf alikutana na Kais Saied alipokuwa akisomea sheria, wakati huo Kais Saied alikuwa mkufunzi wa sheria ya kikatiba.
Sumu ya sianidi kwa wanyamapori: Je, ni wakati wa kupitia upya mfumo wa udhibiti wa viuatilifu Kenya
Kenya inachunguza iwapo kemikali hatari za kulinda mazao zimetumiwa, kuhifadhiwa, au kutupwa isivyofaa katika maeneo yanayotumiwa na wanyamapori pamoja na wanyama wa kufugwa.
EDWIN WATENYA SIFUNA NI NANI?
Leo, Sifuna anaendelea kujiimarisha kama kiongozi mbadala na mwenye tija kuelekea uchaguzi wa 2027.
MAKALA YA SIASA
Kenya yapambana na wimbi la kauli za chuki, mwaka moja kuelekea Uchaguzi Mkuu
Emmanuel Oduor
Kampeni maalumu ya simulizi za Afrika
Charles Mgbolu
Miaka 15 ya Sudan Kusini na Uchaguzi Mkuu unaosuburiwa kwa hamu
Emmanuel Oduor
Tamasha la muziki la shule nchini Kenya lageuza mashindano kuwa sherehe za utamaduni
Wakati wanafunzi kutoka jamii mbalimbali wakishiriki katika kuimba nyimbo, na kupiga midundo kutumia ala za muziki za kimila, tamasha hilo linakuwa mahali pa kukutania utajiri wa utamaduni wa Kenya.
ISAYA YUNGE: Mjasiriamali wa Teknolojia kutoka Tanzania aliyemuoa binti yake Rais wa Kenya
Yunge alimuoa Charlene katika ndoa ya kitamaduni ya Wakalenjin 'Koito ak Chaik' hafla ya kutolewa mahari na kuagwa bi harusi
Utajiri wa Afrika: Boma–Badingilo ya Sudan Kusini
Mandhari ya Boma–Badingilo, iliyoko kusini mashariki mwa Sudan Kusini, ni mojawapo ya mifumo muhimu zaidi ya ikolojia ya wanyamapori barani Afrika.
Na
Coletta Wanjohi
Magonjwa yanapovuka mipaka: Wakulima wa Afrika wavumbua kinga mbadala
Mpango wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Magonjwa ya Mifugo Yanayovuka Mipaka (GPP-TAD) ni mpango unaoongozwa na nchi husika, ambapo kinga na udhibiti wa magonjwa yaliyopewa kipaumbele huimarishwa kupitia ushirikiano kati ya sekta za umma na binafsi
Namna kijana mwenye umri wa miaka 12 mwenye usonji alivyotumia uokaji keki kukabiliana na chuki
Baada ya shambulizi katika msikiti mmoja Uingereza, Joshua Harris alitumia mapenzi yake ya kuoka kuwa kampeni aliyoipa jina la ‘Cake Not Hate’, harakati za kukabiliana na chuki dhidi ya Waislamu kwa kuonesha huruma.
Na
Zulal Sema
Iman Elman: Afisa wa Somalia anayeijenga upya nchi kutoka mstari wa mbele
Baada ya baba yake kuuawa kwa sababu ya kuhimiza amani nchini Somalia, Iman Elman alirejea kutoka Canada ili kujiunga na jeshi. Leo hii, yeye ni mmoja wa maafisa wanawake wenye vyeo vya juu zaidi nchini humo.
BESIGYE: KUTOKA DAKTARI BINAFSI WA MUSEVENI HADI ADUI WA KISIASA
Hata hivyo, kama wasemavyo Waswahili kuwa, kila chenye mwanzo, basi ni lazima kiwe na mwisho, na ndivyo ilivyotokea kwa Besigye na Museveni.
By
Edward Josaphat Qorro
Waandishi
Coletta Wanjohi
Mke wa Rais wa Zimbabwe: Auxillia Kutyauripo Mnangagwa
2 dk kusoma
Nuri Aden
Nico Williams: Kutoka Jangwa la Sahara hadi ubingwa wa Kombe la Dunia
3 dk kusoma
Uturuki yafungua kituo cha mafunzo ya upishi kwa wanawake katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Uganda
3 dk kusoma
Ronald Sonyo
Tanzania kuongeza ushiriki wa wazawa katika sekta ya madini
3 dk kusoma
UGANDA NA MAPAMBANO YA ‘KIMYA KIMYA’ DHIDI YA EBOLA
Uzoefu wa Uganda, unaonesha wazi kuwa hauhitaji chanjo peke yake kukabiliana na ugonjwa kama Ebola.
By
Sylvia Chebet