Bara la Afrika bado lipo nyuma katika utekelezaji wa sera za hifadhi ya jamii, ukilinganisha na maeneo mengine ulimwenguni, hali inayowaacha wananchi wake katika mazingira hatarishi.
Bara la Afrika bado lipo nyuma katika utekelezaji wa sera za hifadhi ya jamii, ukilinganisha na maeneo mengine ulimwenguni, hali inayowaacha wananchi wake katika mazingira hatarishi.