MAONI
Kizazi cha Afrika kitazeeka kabla ya kuwa tajiri?
Japo viwango vya uzazi viko juu Mataifa ya Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara havijaepuka mabadiliko ya kidunia. Kufikia 2030, mtu mmoja kati ya sita duniani atakuwa na umri wa miaka 60 au zaidi; Afrika haijajiandaa



