|
Swahili
|
Swahili
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Mustafa Abdulkadir
Copy Editor, TRT Afrika
Copy Editor, TRT Afrika
Makala za Mwandishi
Trump aongeza shinikizo kwa Iran, atishia hatua kali iwapo hakutakuwa na makubaliano
Kwa mara nyingine, Rais wa Marekani Donald Trump ameibuka na mkakati wa shinikizo kali dhidi ya Iran kwa kutoa muda wa saa 48 kufikiwa kwa makubaliano, akionya kuwa Iran itakiona cha mtema kuni iwapo haitatii sharti hilo.
2 dk kusoma
Lengo halisi la Marekani na Israel kuzishambulia Iran ni lipi?
Rais wa Marekani, Donald Trump, alieleza wazi kwamba hatua ya kuishambulia Iran ililenga kuizuia nchi hiyo kutengeneza silaha za nyuklia, pamoja na kushinikiza mabadiliko ya utawala.
2 dk kusoma
Marekani na Iran zapiga hatua kubwa za makubaliano: Trump
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa kuna hatua kubwa za makubaliano zilizofikiwa katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.
1 dk kusoma
Shirikisho la Soka la Morocco lakana taarifa za kujiuzulu kwa kocha
Taarifa zimesambaa katika mitandao ya kijamii ya kuwa kocha wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui amependekeza kujiuzulu.
1 dk kusoma
Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba aiomba radhi Marekani kufuatia 'tweets' zake za awali.
1 dk kusoma
Pep Guardiola ameishiwa makali yake Man City?
Mancjester City sasa wameshinda mechi 2 tu kati ya mechi 7 walizocheza, hali inayoongeza shinikizo kwa Pep Guardiola.
1 dk kusoma
Sudan 2025: Vita, wakimbizi, na taifa lililogawanyika
Kufikia mwisho wa mwaka 2025, Sudan bado iko kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.
4 dk kusoma
Tanzania yaadhimisha miaka 64 ya Uhuru huku kukiwa na hofu ya usalama
Tanzania Bara kwa kawaida, kila tarehe 9 Disemba huadhimisha Siku ya Uhuru, na mwaka huu taifa hilo linatimiza miaka 64 tangu lipate uhuru wake.
2 dk kusoma
Je, unaijua nchi ya Iran?
Iran, ikijulikana rasmi kama Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ni taifa lililoko katika Asia ya Magharibi, katika eneo la kimkakati linalounganisha Asia ya Kati, Asia ya Kusini na Mashariki ya Kati.
1 dk kusoma
03:08
03:08
Arsenal kusitisha ushirikiano wake na Visit Rwanda
Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo ilitangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026.
1 dk kusoma