| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba aiomba radhi Marekani kufuatia 'tweets' zake za awali.
Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani
Hapo awali Muhoozi alidai kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Uganda ulikuwa unahusishwa na siasa za upinzani nchini humo. / / Reuters

Mkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameiomba radhi serikali ya Marekani, baada yeye mwenyewe, kuweka jumbe tata, kwenye mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter), ambazo baadaye alizifuta.

Katika jumbe hizo, Muhoozi alidai kuwa Ubalozi wa Marekani wa jijini Kampala, ulikuwa unahusishwa na siasa za upinzani nchini humo, na hata kutangaza kusitishwa kwa ushirikiano wa kijeshi kati ya Uganda na Marekani.

Kauli hizo zilizua taharuki na wasiwasi wa kidiplomasia.

Jenerali Muhoozi ambaye pia ni mwana wa Rais wa Uganda alieleza kuwa amezungumza na Balozi wa Marekani nchini Uganda na kuthibitisha kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili bado uko sawa.

CHANZO:TRT Afrika
Soma zaidi
Morocco yatangaza hali ya dharura mikoani huku moto ukisambaa misituni
WHO yatoa wito wa mifumo imara ya afya ili kuimarisha unyonyeshaji watoto
Wafungwa 50 watoroka kutoka gereza la Luebo DRC
Mapigano yakomeshwa kati ya jeshi la Ethiopia na vikosi vya Tigray
Idadi ya waliofariki Ceuta yapanda hadi 72 huku zaidi ya wahamiaji 48,000 wakirejea Morocco
Rais Samia Suluhu Hassan aihimiza Afrika kuondoa utegemezi wa huduma za afya kwa nchi za nje
Tanzania yanyakua ubalozi wa Afrika katika shindano la urembo la 'Miss Supranational 2026'
Iman Elman: Afisa wa Somalia anayeijenga upya nchi kutoka mstari wa mbele
Marekani kufanya sharti la amana ya viza ya dola 20,000 kwa wageni kutoka Afrika kuwa la kudumu
Mlipuko wa hivi karibuni wa Ebola nchini DRC ni wa pili kwa ukubwa duniani kuwahi kurekodiwa
Sera mpya ya Marekani: Raia wa Malawi lazima wasafiri hadi Kenya kupata viza
Wanamgambo wa RSF wanaojisalimisha wakabidhi vifaa vya kijeshi kwa jeshi la Sudan
Rais wa Liberia Boakai awafuta kazi maafisa baada ya kupatikana kwa dawa za kulevya
Serikali ya Ghana yaunga mkono mapendekezo ya kuongeza muda wa urais
Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua Hospitali ya Mwalimu Nyerere nchini Angola
Nigeria yaharibu silaha haramu 2,819 katika kukabiliana na utovu wa usalama
Besigye: Kutoka daktari binafsi wa Museveni hadi adui wa kisiasa
Uwanja wa Ndege wa Bishoftu nchini Ethiopia: Kwa nini Marekani inakodolea macho mradi huo?
Kenya: Sumu chanzo cha vifo vya tembo wa Amboseli
Mwanasiasa wa upinzani Uganda Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani: mke wake