Türkiye
Ulaya inafahamu umuhimu wa Uturuki baada ya kuzuka kwa migogoro ya kimataifa: Hakan Fidan
Sera ya mambo ya nje isiyo ya kawaida ya Rais wa Marekani Donald Trump imeyasukuma mataifa kufikiria upya ushirikiano na kukabiliana na mienendo mipya, huku Uturuki ikiibuka kuwa "mshirika wa kutegemewa na mwenye nguvu".Türkiye
Uturuki yaishukia jarida la The Economist 'kwa kupotosha taarifa za mahakama' na kumlaumu Erdogan
"Jarida la The Economist limemshtumu Rais Erdogan kwa kupotosha taarifa kuhusu kesi na uchunguzi zinazoshughulikiwa na mahakama huru za Uturuki –– jarida hilo likikaa kimya kwa miezi yote kuhusu mauaji ya halaiki na kikatili huko Gaza" asema Altun.
Maarufu
Makala maarufu