Afrika
RSF na washirika watia saini mkataba wa kuunda serikali mbadala Sudan
Serikali ya aina hiyo, ambayo tayari imeleta wasiwasi kutoka kwa Umoja wa Mataifa, haitarajiwi kutambuliwa na watu wengi, lakini ni ishara zaidi ya kusambaratika kwa nchi wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa karibu miaka miwili.
Maarufu
Makala maarufu