Afrika
Marekani yasitisha misaada duniani, Afrika kuathiriwa
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitoa amri ya kusitisha shughuli za mashirika mbalimbali ikiwemo ya umma na ya misaada duniani kote yanayotoa usaidizi sasa na ambao umeidhinishwa, ikitilia shaka matumizi ya mabilioni ya dola ya misaada.
Maarufu
Makala maarufu