Afrika
WFP yasitisha msaada wa chakula Sudan huku mapigano yaliendelea
Mapigano karibu na mji mkuu wa Sudan yamelilazimisha Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula kusitisha usambazaji wa chakula katika maeneo ya Gezira huku watu 300,000 wakikimbia mapigano, wakati ambapo WFP inapambana kufikia jamii zilizo hatarini.
Maarufu
Katika Picha: Vijana waliochoshwa na vita DRC wapata faraja mchezo wa kuteleza
Huku kukiwa na operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kung'oa makundi ya waasi, kijana mmoja anatoa suluhu la kipekee ili kupunguza msongo wa mawazo na kukabiliana na uhalifu mijini
Makala maarufu