Türkiye
Uturuki yaishukia jarida la The Economist 'kwa kupotosha taarifa za mahakama' na kumlaumu Erdogan
"Jarida la The Economist limemshtumu Rais Erdogan kwa kupotosha taarifa kuhusu kesi na uchunguzi zinazoshughulikiwa na mahakama huru za Uturuki –– jarida hilo likikaa kimya kwa miezi yote kuhusu mauaji ya halaiki na kikatili huko Gaza" asema Altun.Türkiye
Uhasama wa vyombo vya habari vya Magharibi dhidi ya Uturuki na Erdogan ni wa kusikitisha: Altun
Kwa kujibu makala ya hivi majuzi ya The Economist, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Uturuki Fahrettin Altun anasema vyombo vya habari vya Magharibi vinapuuza kanuni za kutopendelea na kugeukia "operesheni za mtazamo".
Maarufu
Makala maarufu