| Swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Uturuki na mataifa mengine yalaani shambulizi la Houthi dhidi ya Mecca
Mataifa kadhaa yametaka kusitishwa kwa mashambulizi ya aina hiyo.
Uturuki na mataifa mengine yalaani shambulizi la Houthi dhidi ya Mecca
Mataifa kadhaa yametaka kusitishwa kwa mashambulizi ya aina hiyo.

Uturuki imelaani vikali shambulizi lililofanywa na Houthi, likilenga mji mtakatifu wa Mecca uliopo Saudi Arabia.

“Tunalaani vikali shambulizi hilo,” ilisema Uturuki kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo siku ya Jumatano.

Wakati huo huo, Uturuki imetaka kusitishwa kwa mashambulizi kama hayo, ikitadhaharisha kuwa yanafifisha usalama wa kanda.

Hali kadhalika, Uturuki imezitaka pande zinazohasimiana, kuepuka vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa kanda.

“Ni vyema kulinda usalama wa Mecca kwa umuhimu wa jumuiya ya Kiislamu ulimwenguni,” alisema Mkuu wa Mawasiliano wa Uturuki, Burhanettin Duran kupitia taarifa hiyo.

Mapema, jeshi la anga la Saudi Arabia, lilifanikiwa kutungua na kuharibu droni hizo, kabla hazijaingia anga la Mecca.

Kwa upande wake, kikundi cha Houthi cha Yemen, kilikana kuhusika na jaribio la shambulizi hilo.

Saudi Arabia

Saudi Arabia imekielezea kitendo hicho kuwa ni cha kioga, likiapa kuchukua hatua stahiki za kulinda mji huo mtakatifu.

Qatar

Kwa upande wake, Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar, imeliita jairbio hilo, kama kitendo cha aibu.

Palestina

Rais wa Palestina kwa upande wake, alionesha mshikamano na Saudi Arabia, dhidi ya matishio ya usalama na utulivu wake.

CHANZO:TRT World and Agencies
Soma zaidi
Hurkus-II ndege ya kwanza kutengenezwa Uturuki kukabidhiwa Jeshi la Anga ya nchi hiyo
Mkuu wa Intelijensia wa Uturuki aitembelea Afghanistan
Hali ya Mlango Bahari wa Hormuz irudi kama kawaida, asema Fidan
'Asante, Uturuki' — Wasomali wanasherehekea kuimarika kwa uhusiano na Ankara
Erdogan apongeza ongezeko la ufaulu nchini Uturuki
Uturuki: msamaha wa silaha wa Marekani kwa Utawala wa Kigiriki wa Cypriot unahatarisha uaminifu
Uturuki inalaani mashambulizi ya droni dhidi ya Saudi Arabia kutoka Iraq
Fidan afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani, Katibu Mkuu wa muungano wa OTS jijini Ankara
Erdogan: Uturuki haitaruhusu safari yake ya maendeleo kuzuiwa
Uturuki na mataifa mengine saba yalaani mipango ya Israel ya kuwahamisha Wapalestina
Erdogan ampongeza Meloni kwa kuwa Waziri Mkuu wa Italia aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi
Mkuu wa ujasusi wa Uturuki, Ibrahim Kalin akutana na mwenzake wa Ugiriki mjini Athens
Uturuki yashtumu mashambulizi ya Israel huko Syria, Lebanon na Palestina
Putin: Uturuki ni mshirika wa kweli wa kiuchumi na wa kidiplomasia
Erdogan, Putin wapongeza ushirikiano wa Uturuki na Urusi katika mkutano wa SCO
Uturuki kuongeza ushirikiano na Muungano wa Ushirikiano wa Shanghai: Rais Erdogan
Mkataba wa Ulinzi wa Makkah waweka msingi wa kujenga mfumo mpya wa usalama wa kikanda: Fidan
Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia kufanya mkutano wa kwanza wa makubaliano ya ulinzi ya Makka
Operesheni ya uokoaji inaendelea baada ya kivuko kupinduka karibu na TRNC
Agosti 30: Ushindi uliofungua njia ya kuinuka kwa Uturuki ya kisasa