| Swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Putin: Uturuki ni mshirika wa kweli wa kiuchumi na wa kidiplomasia
Akizungumza baada ya kukutana na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki nchini Kyrgyzstan siku ya Jumanne, Putin alibainisha kuwa uhusiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo upo katika hali ya kuridhisha.
Putin: Uturuki ni mshirika wa kweli wa kiuchumi na wa kidiplomasia
Akizungumza baada ya kukutana na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki nchini Kyrgyzstan siku ya Jumanne, Putin alibainisha kuwa uhusiano wa kiuchumi k

Rais Vladimir Putin wa Urusi, amesema kuwa Uturuki itaendelea kuwa mshirika wa karibu na wa kweli wa nchi yake, hasa katika maeneo ya uchumi na sera za kimataifa.

Akizungumza baada ya kukutana na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki nchini Kyrgyzstan siku ya Jumanne, Putin alibainisha kuwa uhusiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo upo katika hali ya kuridhisha.

“Uturuki ni kati ya washirika wetu muhimu katika masuala ya kisera na kiuchumi,” alisema Rais Putin, akimshukuru Rais Erdogan.

Kulingana na Putin, Uturuki na Urusi zinaendelea kutekeleza miradi mbalimbali, ukiwemo wa Nyuklia wa Akkuyu.

“Uliweka mazingira mazuri ya kuanzishwa kwa kampuni yetu ya Rosatam,” alisema Putin.

Kulingana na Putin, Uturuki inaendelea kushuhudia ongezeko la watalii wa Kirusi, ikifikia milioni 7, mwaka 2025.

Wawili hao, walikutana katika mkutano wa ushirikiano wa shirika la Shanghai, uliofanyika jijini Bishkek.

CHANZO:Anadolu Agency
Soma zaidi
Operesheni ya uokoaji inaendelea baada ya kivuko kupinduka karibu na TRNC
Agosti 30: Ushindi uliofungua njia ya kuinuka kwa Uturuki ya kisasa
Erdogan ameisifu Uturuki katika maadhimisho ya miaka 104 ya 'Siku ya Ushindi'
Jeshi la Wanamaji la Uturuki na vikosi vya Somalia vyaokoa meli ya mizigo iliyotekwa na maharamia
Uturuki yataka kupunguza mizozo katika Ulimwengu wa Kiislamu: Erdogan
Rais Erdogan ajadili amani ya kikanda na viongozi wa Rwanda na DRC
Erdogan: Uturuki itaendelea kufanya maendeleo licha ya migogoro ya kikanda
Erdogan na Lula wajadili kuimarisha zaidi uhusiano wa kiuchumi
Katika picha: Waogeleaji 2,500 wavuka Mlango-bahari wa Istanbul katika mbio za kila mwaka za mabara
Uturuki yataka ilani nyekundu ya Interpol dhidi ya Netanyahu kufuatia shambulio dhidi ya fotilla
Uturuki kuimarisha uwezo wa jeshi lake la wanamaji: Waziri wa Ulinzi
Waziri wa zamani wa ulinzi wa Israel Yaalon amshtumu Netanyahu kwa uchokozi dhidi ya Uturuki
Uturuki itaendelea kuwa chanzo cha matumaini kwa Gaza na dunia: Erdogan
Kenya, Uturuki kushirikiana zaidi katika biashara, uwekezaji na ulinzi
Uturuki yachapisha rasmi sheria ya mchakato wa 'Uturuki Isiyo na Ugaidi'
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki afanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa Qatar na Syria
Chombo cha Uturuki cha Marlin chaimarisha uwezo wa kutegesha mabomu baharini
Uwanja wa ndege wa Istanbul waweka rekodi mpya ya ndege na abiria
'Matatizo ya usalama' katika mpaka wa Uturuki na Syria yametoweka: Balozi wa Uturuki
Miaka 25 ya Chama cha AK na kuimarika kwa Uturuki kama mdau muhimu katika kanda na ulimwenguni