Afrika
Kenya yaadhimisha siku ya Mashujaa, huku wananchi wakililia hali ngumu ya maisha
Tarehe 20 mwezi Oktoba Wakenya huadhimisha siku ya mashujaa kuwaenzi waliochangia katika mapambano ya maendeleo ya nchi, hata hivyo, baadhi ya wananchi wanasema maadhimisho haya yanakuja wakati hali ya maisha ikizidi kuwa ngumu
Maarufu
Katika Picha: Vijana waliochoshwa na vita DRC wapata faraja mchezo wa kuteleza
Huku kukiwa na operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kung'oa makundi ya waasi, kijana mmoja anatoa suluhu la kipekee ili kupunguza msongo wa mawazo na kukabiliana na uhalifu mijini
Makala maarufu