| Swahili
Dondoo za TRT Afrika Swahili |03 Februari 2026
00:0002:35
Dondoo za TRT Afrika Swahili |03 Februari 2026
Habari zaidi
Michezo
CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025
CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025
Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliyofanyika Januari 18, 2026.