| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 24 Februari
00:0002:53
Dondoo za TRT Afrika | 24 Februari
Habari zaidi
Michezo
Mahakama ya Morocco yawatupa jela mashabiki 19 wa soka kwa vitendo vya kihuni
Mahakama ya Morocco yawatupa jela mashabiki 19 wa soka kwa vitendo vya kihuni
Mahakama ya Morocco imewahukumu mashabiki 19 wa soka kifungo cha mwaka mmoja jela kwa vitendo vya kihuni walivyovionesha wakati wa mchezo wa fainali ya AFCON 2025 kati ya Morocco na Senegal, ambapo walijaribu kuvamia uwanja.