- Ukurasa wa nyumbani
- Maoni
Haki Ya Wapalestina
Matokeo ya 12 yanayohusiana na Haki Ya Wapalestina yanaonyeshwa
Türkiye
Israel italipa gharama ya dhulma inayofanya huko Gaza - Erdogan
"Haijalishi nini kitatokea, sisi (Uturuki) tutaendelea kusimama kidete kukabiliana na mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Gaza, na Israel hakika italipa ukatili huu," mkurugenzi wa mawasiliano wa Uturuki anamnukuu Rais Erdogan akisema.Türkiye
Israeli inatumia msaada wa kibinadamu kama 'silaha ya vita' - Fidan
Akisisitiza kuwa zaidi ya Wapalestina 400,000 wanakabiliwa na njaa katika Gaza ya Palestina, waziri wa mambo ya nje wa Uturuki anasema, "Katika msingi halisi, tunapaswa kuzuia watu kufa kwa njaa kwa kuvunja mzingiro wa Israel."
Maarufu
Katika Picha: Vijana waliochoshwa na vita DRC wapata faraja mchezo wa kuteleza
Huku kukiwa na operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo za kung'oa makundi ya waasi, kijana mmoja anatoa suluhu la kipekee ili kupunguza msongo wa mawazo na kukabiliana na uhalifu mijini
Makala maarufu