Huduma za kawaida za usafiri ndani ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imam Khomeini nchini Iran, zitarejea tena siku ya Jumamosi, kulingana na shirika la habari la ISNA.
Kwa mujibu wa ISNA, safari za kwanza za ndege zitakuwa za kuelekea Istanbul na Muscat.
ZILIZOPENDEKEZWA
Kurejea kwa huduma za usafiri ndani ya uwanja huo, kunafuatia kufungwa kwa anga la Iran baada ya vita vya Marekani-Israel dhidi ya Iran ambavyo vilianza Februari 28.
CHANZO:AFP














