OPINION
Marekani yaanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran
Jeshi la Marekani limesema mashambulizi hayo, ambayo ni ya kwanza baada ya kusitishwa kwa mashambulizi kwa siku kadhaa, yalikuwa "jibu kali" kwa kile ilichodai kuwa ni jaribio la Iran kushambulia wanajeshi wa Marekani waliyoko Mashariki ya Kati.





