OPINION
Zaidi ya watu 4,500 wamekimbia makazi yao Darfur na Blue Nile nchini Sudan: UN
Vita kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha RSF vimesababisha vifo vya makumi ya maelfu ya watu na kulazimisha takriban watu milioni 13 kuyakimbia makazi yao tangu Aprili 2023, kwa mujibu wa makadirio ya Umoja wa Mataifa (UN).



