Bunge la Taiwan limepitisha bajeti ya Dola bilioni 25 kwa ajili ya ulinzi.
Hata hivyo, wabunge wa upinzani, wanadai kuwa kiasi hicho kitatumika kuinunulia Marekani silaha.
ZILIZOPENDEKEZWA
Kwa muda mrefu sasa, watunga sheria hao nchini humo, wamekuwa wakitofautiana kuhusu kiasi cha fedha kinachopaswa kutumika kwa ajili ya masuala ya ulinzi, hususani dhidi ya uvamizi kutoka China.
CHANZO:AFP














