Topic - Small Live Coverage
OPINION
Tanzania kinara wa simba, nyati barani Afrika
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa matokeo ya sensa hiyo jijini Arusha, Tanzania, Mkurugenzi Mkuu wa TAWIRI, Jublet Mjingo amesema kuwa, sensa ya mwaka 2024/2025 imefanyika miaka 10 baada ya ile ya mwaka 2014/2015.

