Topic - Small Live Coverage
OPINION
Kwa nini marufuku ya muguka Mombasa, Kenya ni kizungumkuti?
Gavana Nassir amesema muguka ni “tishio kubwa kwa afya ya vijana” na haina manufaa yoyote ya kitabibu, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kulinda afya ya umma ndani ya Kaunti ya Mombasa.


