Topic - Small Live Coverage
OPINION
Ramadhan Uganda: Wito wa amani
Viongozi wa dini ya Kiislamu nchini Uganda wanawataka waumini kuutumia mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kuungana na kusameheana hasa baada ya kipindi kigumu cha mvutano kilichosababishwa na Uchaguzi Mkuu wa urais wa tarehe 15 Januari 2026.


