| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Polisi wapekua nyumba ya rais wa zamani, Jair Bolsonaro
Hata hivyo, polisi hawakukuta silaha yoyote baada ya upekuzi huo, kulingana na mwanasheria wa kiongozi huyo wa zamani.
Polisi wapekua nyumba ya rais wa zamani, Jair Bolsonaro
Hata hivyo, polisi hawakukuta silaha yoyote baada ya upekuzi huo, kulingana na mwanasheria wa kiongozi huyo wa zamani./Picha:Wengine / Others

Jeshi la Polisi la Brazil, siku ya Jumatano limefanya upekuzi kwenye nyumba ya kiongozi wa zamani wa nchi hiyo, Jair Bolsonaro, ambaye yupo kwenye kizuizi cha nyumbani kwa sasa.

Kiongozi huyo, mwenye umri wa miaka 71, anatumikia kifungo cha miaka 27 jela kufuatia jaribio lake la kufanya mapinduzi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Rais Luiz Inacio Lula da Silva, mwaka 2022.

Wiki iliyopita, Mahakama Kuu ya Brazil, iliongeza muda wa kifungo cha nyumbani kwa Bolsonaro, kutokana na sababu za kiafya.

Hata hivyo, polisi hawakukuta silaha yoyote baada ya upekuzi huo, kulingana na mwanasheria wa kiongozi huyo wa zamani, Joao Henrique Nascimento de Freitas.

Upekuzi huo, uliodumu kwa takribani saa moja, ulihusisha chumba cha binti wa kiongozi huyo, ambaye alikuwa amelala kwa wakati huo.

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Ukraine, Uholanzi zatiliana saini mkataba wa ulinzi wakati wa mkutano wa NATO
Gaza yavunja utawala kabla ya uhamisho wa mamlaka chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano
Ufaransa yakumbwa na wizi mwingine mkubwa wa vito vya thamani kutoka jumba la makumbusho
Trump kukutana na Zelenskyy, Sharaa wa Syria wakati wa mkutano wa NATO mjini Ankara
Watu 8 wauawa katika tukio la hivi punde la uhalifu wa  bunduki nchini Marekani.
Maombi yamefanyika kwa ajili ya Khamenei wa Iran katika siku ya pili ya sherehe za mazishi
Sherehe za mazishi ya Ali Khamenei zinaanza nchini Iran huku umati mkubwa ukidai kulipizwa kisasi
Uturuki yakanusha taarifa za kupotosha kuhusu tishio la shambulio wakati wa mkutano wa NATO
Waziri Mkuu wa Moldova ajiuzulu baada ya miezi nane madarakani
Kanisa Katoliki lajitenga na Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa 10
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yamepiga hatua nzuri: Trump
Jinsi urembeshaji wa kitamaduni unavyoweka utambulisho wa Wapalestina hai katika diaspora
Ufaransa yarekodi vifo zaidi ya 1,000 katika siku tano huku wimbi la joto likizidi kupanda
Kisa cha paka Larry na Mawaziri Wakuu wa Uingereza
Huduma za usafirishaji zapungua Mlango Bahari wa Hormuz baada ya mashambulizi ya meli za mizigo
Ajali mbaya ya ndege nchini Ufaransa, uchunguzi waanza
Umoja wa Mataifa unakadiria karibu watu milioni 6.8 waliathiriwa na tetemeko la ardhi la Venezuela
Lebanon, Israel na Marekani watia saini mpango wa makubaliano ya amani
Rais Zelenskyy  wa Ukraine ‘atenga’ siku 40 za kuishambulia Urusi
Klabu ya 1860 Munich ya nchini Ujerumani yaelekea kufilisika