Abiria wote ambao walikuwa wametekwa nyara wakiwa ndani ya basi siku ya Jumatano katika jimbo la kati la Nigeria la Benue wameokolewa, gavana wa jimbo hilo amesema siku ya Jumapili.
Idadi ya waliotekwa kutoka kwenye basi hilo na waliookolewa awali haikuwa imewekwa wazi.
ZILIZOPENDEKEZWA
Maafisa wa polisi wa eneo hilo wanasema watu 14 walitekwa nyara, ilhali Gavana wa Benue Hyacinth Alia alitaka watu 15 katika taarifa kwa waandishi wa habari siku ya Jumapili.
Awali, polisi walisema washukiwa saba walikamatwa kuhusiana na utekaji nyara huo.
CHANZO:TRT Afrika Swahili


















