Mwanamfalme Harry ameamua kurudi nyumbani yeye pamoja na familia yake. Prince Harry na mke wake Meghan Markle pamoja na watoto wao wanarejea Uingereza, ila hawatokuwa na majukumu rasmi kama Mwanamfalme.
Pamoja na hayo, Harry ameamua kuondoa tofauti zake na baba yake,Mfalme Charles wa tatu ambaye anatibiwa saratani kwa sasa.


Tazama Video zaidi
Prince Harry ni Nani?
Mwanamfalme Harry ameamua kurudi nyumbani yeye pamoja na familia yake.
Tazama Video zaidi