Katika muendelezo wa sehemu nyingine ya mfululizo wetu unaoangazia vipaji vya riadha Afrika, tunamtambulisha Benjamin Fernandi Ratsim.
Ratsim ana umri wa miaka 19, lakini tayari anashiriki mashindano ya kimataifa ya ngazi ya juu katika mbio za mita 5,000, mita 10,000 na mbio za nyika.
