| Swahili
Benjamin Ratsim: Kijana wa miaka 19 anayebanana na vigogo wa riadha
Afrika
Benjamin Ratsim: Kijana wa miaka 19 anayebanana na vigogo wa riadha
Ratsim ana umri wa miaka 19, lakini tayari anashiriki mashindano ya kimataifa ya ngazi ya juu katika mbio za mita 5,000, mita 10,000 na mbio za nyika.

Katika muendelezo wa sehemu nyingine ya mfululizo wetu unaoangazia vipaji vya riadha Afrika, tunamtambulisha Benjamin Fernandi Ratsim.

Ratsim ana umri wa miaka 19, lakini tayari anashiriki mashindano ya kimataifa ya ngazi ya juu katika mbio za mita 5,000, mita 10,000 na mbio za nyika.

Tazama Video zaidi
Inyas Sulley: Mtanzania anayechukua riadha hatua kwa hatua
Wa-Houthi ni kina nani?
Desturi ya kuvaa baraghashia
Magdalena Shauri : Dada anayepepea miongoni mwa vigogo wa riadha duniani
Gabriel Geay : Nyota wa riadha wa Tanzania 'Moto wa kuotea mbali'
Kiuno mkabaji Thomas Partey
Prince Harry ni Nani?
Mafao anayostahiki Nchimbi
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kocha Yaya Toure