| Swahili
Magdalena Shauri : Dada anayepepea miongoni mwa vigogo wa riadha duniani
Afrika
Magdalena Shauri : Dada anayepepea miongoni mwa vigogo wa riadha duniani
Magdalena Shauri, Mtanzania ambaye hawezi kuzuilika, bila shaka ni jina la kufuatilia kwa karibu.

Tunarejea na sehemu nyingine ya mfululizo wetu kuhusu nyota wanaochipukia katika riadha nchini Tanzania.

Safari hii, tunamtazama mwanamke ambaye amejijengea jina miongoni mwa wakimbiaji bora wa mbio ndefu za marathon barani Afrika.

Huyu ni Magdalena Shauri.

Tazama Video zaidi
Inyas Sulley: Mtanzania anayechukua riadha hatua kwa hatua
Wa-Houthi ni kina nani?
Desturi ya kuvaa baraghashia
Benjamin Ratsim: Kijana wa miaka 19 anayebanana na vigogo wa riadha
Gabriel Geay : Nyota wa riadha wa Tanzania 'Moto wa kuotea mbali'
Kiuno mkabaji Thomas Partey
Prince Harry ni Nani?
Mafao anayostahiki Nchimbi
John Welle: Kizazi kipya kinachopeperusha bendera ya Tanzania katika riadha
Kocha Yaya Toure