Topic - Small Live Coverage
OPINION
Mgogoro wa Mashariki ya Kati hasara kwa mauzo ya nyama Kenya
Wawekezaji katika sekta ya nyama wanasema usafirishaji wa nyama kutoka Kenya hadi nchi za uarabuni, umeshuka hadi chini ya asilimia tano ya viwango vinavyotarajiwa kusafirishwa kwa kawaida.


