Topic - Small Live Coverage
OPINION
Tanzania: Gharama za mafuta ya petroli zapanda maradufu
Kulingana na taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (EWURA), Aprili 1, 2026, gharama hizo zimeongezeka kutokana na mabadiliko ya soko la kimataifa, likiwemo ongezeko la bei ya mafuta ghafi.


