| Swahili
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
00:51
Afrika
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Wachezaji wa Tanzania wanasema umuhimu ulikuwa na kuhakikisha wanavuka hatua ya makundi kwa hivyo walipambana kupata matokeo

Taifa Stars ya Tanzania imeonyesha moyo wa kupambana baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia.

Matokeo hayo yameitosha Tanzania kufuzu hatua ya 16 bora ya AFCON, ikiendelea kuandika historia katika mashindano haya kwa mshikamano, nidhamu na azma ya kusonga mbele zaidi.

Tazama Video zaidi
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
Fimbo ya DRC katika uwanja la Kombe la Dunia
Mtoto wa Sudan na Tumbusi
Mkenya Sabastian Sawe aweka historia marathon amaliza chini ya saa mbili
Papa Wemba: Kumbukumbu ya miaka 10 tangu afariki
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025