| Swahili
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
01:42
Michezo
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
Artan amesema, ndoto yake ilikuwa ni kuwa miongoni mwa marefa watakaochezesha Kombe la Dunia, ingawa ndoto yake imekatizwa

Mwamuzi wa soka wa Somalia Omar Abdulkadir Artan ambae alizuiwa kuingia nchini Marekani kusimamia mechi za Kombe la Dunia, amepata mapokezi ya kishujaa nchini mwake Somalia, huku uamuzi wa Marekani wa kutomruhusu refa huyo ukiendelea kuibua hisia tofauti.

Artan amesema, ndoto yake ilikuwa ni kuwa miongoni mwa marefa watakaochezesha Kombe la Dunia, ingawa ndoto yake imekatizwa.

Tazama Video zaidi
Fimbo ya DRC katika uwanja la Kombe la Dunia
Mtoto wa Sudan na Tumbusi
Mkenya Sabastian Sawe aweka historia marathon amaliza chini ya saa mbili
Papa Wemba: Kumbukumbu ya miaka 10 tangu afariki
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"