Hii ndiyo simulizi ya picha hiyo iliyoshtua ulimwengu, ikashinda Tuzo ya Pulitzer, na kuzua mjadala mkali kuhusu maadili ya upigaji picha, huku ikimuacha mpiga picha wake akiwa na msongo wa mawazo na hatimae kujiua.

03:34

03:34
Tazama Video zaidi
Mtoto wa Sudan na Tumbusi
Mwaka 1993, mpiga picha Kevin Carter alipiga moja ya picha yenye utata zaidi katika historia: mtoto aliyeanguka kwa njaa kali nchini Sudan huku tumbusi akimnyemelea nyuma yake.
Tazama Video zaidi