| Swahili
Ilikuaje ishara maarufu duniani kugeuka kuwa ishara ya ubaguzi?
Michezo
Ilikuaje ishara maarufu duniani kugeuka kuwa ishara ya ubaguzi?
Ishara ya mkono ya Mwamuzi Msaidizi wa Video wa FIFA ya ‘OK’ iliyogeuzwa juu chini imezua mjadala mtandaoni

Ishara ya mkono ya Mwamuzi Msaidizi wa Video wa FIFA imezua mjadala mtandaoni baada ya watazamaji kudai kuwa inafanana na ishara ya ‘OK’ iliyogeuzwa juu chini - ishara ambayo, ingawa inaonekana haina madhara, katika miaka ya hivi karibuni imechukuliwa na baadhi ya makundi ya wazungu wenye itikadi kali kama ishara ya ubaguzi wa rangi.

Kwa hivyo ilikuaje ishara hiyo maarufu duniani kugeuka kuwa ishara ya ubaguzi

Tazama Video zaidi
Kisa cha Kombe la Dunia kuibiwa mara mbili
FIFA 2026: Kanuni zimebadilika?
Wanasoka waliofariki uwanjani
Mfumo mpya wa Kombe la Dunia 2026
Ronaldo na Messi Kombe la Dunia mara ya 6
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
Fimbo ya DRC katika uwanja la Kombe la Dunia
Mtoto wa Sudan na Tumbusi
Mkenya Sabastian Sawe aweka historia marathon amaliza chini ya saa mbili
Papa Wemba: Kumbukumbu ya miaka 10 tangu afariki