Wapo nyota wa soka ambao hawakumaliza dakika 90 za mechi zao za mwisho, na wapo ambao hawakurudi tena nyumbani.
Baadhi yao ni:
- Marc Vivien Foe wa Cameroon (2003)
- Antonio Puerta wa klabu ya Hispania ya Sevilla FC (2007)
- Piermario Morosini wa Italia (2012)
- Cheick Tioté wa klabu ya China ya Beijing Enterprises (2017)
Naye Christian Eriksen wa Denmark (2021) aliponea baada ya kuanguka uwanjani ghafla lakini madaktari na wahudumu wa dharura walifanikiwa kuokoa maisha yake.
Matukio haya yalibadili ulimwengu wa kandanda kabisa pamoja na sheria za mchezo wa kabumbu.

02:32

02:32
Tazama Video zaidi
Wanasoka waliofariki uwanjani
Wapo nyota wa soka ambao hawakumaliza dakika 90 za mechi zao za mwisho, na wapo ambao hawakurudi tena nyumbani.
Tazama Video zaidi