| Swahili
Wanasoka waliofariki uwanjani
02:32
Afrika
Wanasoka waliofariki uwanjani
Wapo nyota wa soka ambao hawakumaliza dakika 90 za mechi zao za mwisho, na wapo ambao hawakurudi tena nyumbani.

Wapo nyota wa soka ambao hawakumaliza dakika 90 za mechi zao za mwisho, na wapo ambao hawakurudi tena nyumbani.

Baadhi yao ni:

- Marc Vivien Foe wa Cameroon (2003)
- Antonio Puerta wa klabu ya Hispania ya Sevilla FC (2007)
- Piermario Morosini wa Italia (2012)
- Cheick Tioté wa klabu ya China ya Beijing Enterprises (2017)

Naye Christian Eriksen wa Denmark (2021) aliponea baada ya kuanguka uwanjani ghafla lakini madaktari na wahudumu wa dharura walifanikiwa kuokoa maisha yake.

Matukio haya yalibadili ulimwengu wa kandanda kabisa pamoja na sheria za mchezo wa kabumbu.

Tazama Video zaidi
Mfumo mpya wa Kombe la Dunia 2026
Ronaldo na Messi Kombe la Dunia mara ya 6
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
Fimbo ya DRC katika uwanja la Kombe la Dunia
Mtoto wa Sudan na Tumbusi
Mkenya Sabastian Sawe aweka historia marathon amaliza chini ya saa mbili
Papa Wemba: Kumbukumbu ya miaka 10 tangu afariki
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'