Hivi karibuni, Rais Lee Jae Myung wa Korea Kusini, aliamuru kufanyike kwa uchunguzi maalumu, baada ya timu ya taifa nchi hiyo kutolewa mapema katika Fainali za Kombe la Dunia 2026.
Mwaka 2000, nyota wa zamani wa Côte d'Ivoire, Didier Drogba na wenzake walipelekwa kwenye kambi maalumu ya kijeshi kutumikia adhabu kwa amri ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Jenerali Robert Guei, baada ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye michuano ya AFCON mwaka 2000.


Tazama Video zaidi
Chungu tamu ya matokeo ya soka duniani
Soka ni mchezo wenye matokeo ya kufurahisha na wakati mwingine, kustaajabisha.
Tazama Video zaidi