| Swahili
Chungu tamu ya matokeo ya soka duniani
Michezo
Chungu tamu ya matokeo ya soka duniani
Soka ni mchezo wenye matokeo ya kufurahisha na wakati mwingine, kustaajabisha.

Hivi karibuni, Rais Lee Jae Myung wa Korea Kusini, aliamuru kufanyike kwa uchunguzi maalumu, baada ya timu ya taifa nchi hiyo kutolewa mapema katika Fainali za Kombe la Dunia 2026.

Mwaka 2000, nyota wa zamani wa Côte d'Ivoire, Didier Drogba na wenzake walipelekwa kwenye kambi maalumu ya kijeshi kutumikia adhabu kwa amri ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Jenerali Robert Guei, baada ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye michuano ya AFCON mwaka 2000.

Tazama Video zaidi
Winga teleza wa Misri Trezeguet
Ndugu kwenye Kombe la Dunia 2026
Ilikuaje ishara maarufu duniani kugeuka kuwa ishara ya ubaguzi?
Kisa cha Kombe la Dunia kuibiwa mara mbili
FIFA 2026: Kanuni zimebadilika?
Wanasoka waliofariki uwanjani
Mfumo mpya wa Kombe la Dunia 2026
Ronaldo na Messi Kombe la Dunia mara ya 6
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
Fimbo ya DRC katika uwanja la Kombe la Dunia