| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 19 Januari
00:00
00:0000:00
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 19 Januari
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesma ushindi wake katika uchaguzi wa Januari 15 ulionyesha udhibiti wa chama chake. Na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya Kiongozi Mkuu litachukuliwa kama tangazo la vita.
19 Januari 2026

Vichwa vya habari:

  • Rais wa Uganda Yoweri Museveni asifia ushindi wake katika uchaguzi wa Januari 15

  • Rais wa Iran ameonya kuhusu shambulio lolote dhidi ya Kiongozi Mkuu Ali Khamenei

  • Ajali ya treni nchini Uhispania yauwa watu kadhaa

  • Uturuki imekaribisha hatua ya kusitisha mapigano ya Syria

  • Senegal mabingwa wa AFCON katika mechi iliyotawaliwa na utata

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 04 Machi 2026
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Urithi wa Kiandalusia Umeishaje?