Mashindano hayo yamevutia timu 34 kutoka nchi 20

Mji wa Naivasha ndiyo kivutio kikuu nchini Kenya hasa kwa mashabiki wa magari .

Mashabiki wamebuni njia ya kuona magari ambayo yanapita mbali

Mashindano hayo yamevutia mashabiki kutoka nchi zingine pia kama nchi jirani ya Uganda

Kwa wale ambao lazima wafanye kazi lazima wavumilie wingu zito la vumbi linalozuka wakati magari yanapopita kwa mbio

Mashabiki wengine walitafuta maeneo ya starehe ili kutazama shindano hilo

Madereva nao wanajimudu ili kutoa msisimko ambao mashindano haya yanahusika nayo
TRT Afrika