mashindano ya magari ya safari rally yameingia siku ya tatu nchini Kenya  (WRC) msimu wa 2023  / Picha: AFP

Mashindano hayo yamevutia timu 34 kutoka nchi 20

Maelfu ya mashabiki wamekusanyika mjini Naivasha kushudia shindano hilo la siku nne 

Mji wa Naivasha ndiyo kivutio kikuu nchini Kenya hasa kwa mashabiki wa magari .

mashindano ya magari nchini Kenya /Picha AFP

Mashabiki wamebuni njia ya kuona magari ambayo yanapita mbali

mashindano ya magari nchini Kenya /Picha AFP

Mashindano hayo yamevutia mashabiki kutoka nchi zingine pia kama nchi jirani ya Uganda

mashindano ya magari nchini Kenya /Picha AFP

Kwa wale ambao lazima wafanye kazi lazima wavumilie wingu zito la vumbi linalozuka wakati magari yanapopita kwa mbio

mashindano ya magari nchini Kenya /Picha AFP

Mashabiki wengine walitafuta maeneo ya starehe ili kutazama shindano hilo

mashindano ya magari nchini Kenya /Picha AFP

Madereva nao wanajimudu ili kutoa msisimko ambao mashindano haya yanahusika nayo

TRT Afrika