Topic - Small Live Coverage
OPINION
Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia
Kulingana Wanjikũ wa Ngũgĩ, ambaye ni binti wa mwanafasihi huyo mahiri barani Afrika, amefariki dunia asubuhi ya Mei 28, 2025, akiwa na umri wa miaka 87.





