tokea masaa 4
Shirika la ndege la Uturuki limeongoza idadi ya ndege na kufikia 531, ndani ya miongo miwili.
"Hatujaacha, bado tunaendelea kukua,” alisema Afisa Mtendaji wa Turkish Airlines Bilal Eksi.
"Kufikia mwaka 2003, ndege zetu zilikuwa 65, leo hii tunajisikia kufikia idadi ya 531,” aliongeza.
ZILIZOPENDEKEZWA
Disemba 2024, shirika la ndege Uturuki lilipata hadhi ya rekodi za dunia za Guinness, kwa kuwa lenye kufika nchi nyingi zaidi.
Shirika hilo ni moja kati ya mashirika makubwa duniani, likisafirisha abiria milioni 85 na tani milioni 2 za mizigo kwa mwaka.
CHANZO:AA












