Berlusconi alikuwa amelazwa katika hospitali ya Milan ya San Raffaele wiki iliyopita kutokana na matatizo yanayohusishwa na saratani ya damu / Picha: AFP

Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Silvio Berlusconi amefariki Jumatatu akiwa na umri wa miaka 86.

Berlusconi alikuwa amelazwa katika hospitali ya Milan ya San Raffaele wiki iliyopita kutokana na matatizo yanayohusishwa na saratani ya damu ya muda mrefu ambayo haikujulikana hapo awali, shirika la habari la Italia ANSA liliripoti.

TRT Afrika