Ndege ya kijeshi ya Urusi yaanguka karibu na mpaka wa Ukraine

Ndege ya kijeshi ya Urusi yaanguka karibu na mpaka wa Ukraine

Mazingira ya tukio yana chunguzwa.
Russian rockets launch against Ukraine from Russia's Belgorod region are seen at dawn in Kharkiv, Ukraine, early Sunday. / Photo: AP

Ndege ya kivita ya Urusi aina ya Su-34 ilianguka Jumamosi katika eneo la kusini mwa Bryansk karibu na mpaka na Ukraine, kulingana na ripoti za vyombo vya habari.

"Ndege hiyo ya Su-34 ilianguka karibu na mpaka wa Ukraine. Hatima ya waliokuwemo inachunguzwa," shirika la habari la serikali la TASS lilisema na kiungo cha huduma za dharura.

Imeongeza kuwa mazingira ya ajali hiyo yanachunguzwa.

Mapema leo helikopta ya kijeshi aina ya Mi-8 pia ilianguka katika eneo la Bryansk na kuwaua marubani wawili waliokuwa ndani yake.

AA