| Swahili
UTURUKI
1 DK KUSOMA
Rais wa Uturuki Erdogan afanya mazungumzo na kiongozi wa Congo Nguesso
Mkutano kati ya viongozi hao wawili ulikuwa wa faragha, kando ya mkutano wa BRICS unaoendelea nchini Urusi.
Rais wa Uturuki Erdogan afanya mazungumzo na kiongozi wa Congo Nguesso
Rais Recep Tayyip Erdoğan alikutana na Rais wa Jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso katika hafla ya Mkutano wa Viongozi wa nchi za BRICS/ Picha : AA / AA
24 Oktoba 2024