| Swahili
UTURUKI
1 DK KUSOMA
Maafisa wa Uturuki na Urusi wajadili kuhusu Syria mjini Ankara
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Nuh Yilmaz alikutana na Mwakilishi Maalum wa Urusi kwa Syria Alexander Lavrentiev mjini Ankara kujadili Syria.
Maafisa wa Uturuki na Urusi wajadili kuhusu Syria mjini Ankara
Nuh Yilmaz na Alexander Lavrentiev walibadilishana mawazo kuhusu Syria. / Picha: Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki / Others
4 Agosti 2024